iqna

IQNA

utawala wa kizayuniwa Israel
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Binti mmoja wa Palestina ametekeleza operesheni ya kishujaa ya kujitoa kufa shahidi ili kujibu jinai za mtawalia za wanajeshi makatili wa Israel na walowezi wa utawala huo pandikizi.
Habari ID: 3476959    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Wazayuni wameandamana kupinga baraza jipya la mawaziri la Waziri Mkuu wa Israel lenye misimamo mikali. Baraza hilo jipya la Benjamin Netanyahu linatabiriwa kuanzisha sera hatari katika za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
Habari ID: 3476375    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia 22 Agosti, mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel walianzisha mgomo usio na kikomo wa kula chakula wakilalamikia hatua za kidhalimu na maafisa wa utawala huo katika magereza.
Habari ID: 3475679    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/25